• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mpanda Municipal Council
Mpanda Municipal Council

Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa Mpanda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
        • Tasaf
      • Fedha na Biashara
      • Usafishaji na Mazingira
      • Mipango, Takwimu, Uchumi na Tathmini
      • Land and Town Planning
      • Ufugaji na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Uchaguzi
    • Muundo wa Taasisi
    • Kata
    • Streets
  • Fursa za uwezekezaji
    • Vituo vya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Uvuvi
    • Sekta ya Kilimo
    • Sekta ya ufugaji
  • Huduma zetu
    • Elimu
      • Rungwa Sekondari
      • Mpanda Girls Sec School
    • Heath
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Woman Empowerment
  • Madiwani
    • List of Counciolors
    • Standing Commitees
    • Time table
      • Vikao vya Madiwani
    • Makablasha/Taarifa za Baraza
  • Miradi
    • Miradi inayo tekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • By laws
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo
    • Strategic Plan
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi
    • Speech
    • Albamu
    • Makala

MANISPAA YA MPANDA YAKABIDHI MADARASA 51

Posted on: December 28th, 2022

MANISPAA YA MPANDA YAKABIDHI MADARASA 51

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda amekabidhi vyumba vya madarasa 51 vikiwa pamoja viti na meza vyote vinavyogharimu bilioni moja (1) na milioni 20 kwa ajili ya maandalizi ya kuwapokea kidato cha kwanza kwa mwaka 2023

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko amepokea vyumba hivyo 51 vya madarasa yaliyokamilika katika Manispaa ya Mpanda ikiwa ni maandalizi ya kupokea Wanafunzi wa Kidato cha kwanza kwa ajili ya muhula mpya wa masomo 2023.

Akizungumza wakati wa Hafla ya kukabidhi vyumba hivyo 51 vya madarasa almaarufu Madarasa ya Mama Samia, katika Shule ya Sekondari Lyamba Manispaa ya Mpanda Mkuu wa Mkoa Mhe. Mrindoko ameipongeza Manispaa ya Mpanda kwa kukamilisha Ujenzi huo kwa wakati.

Aidha Mhe.Mrindoko pamoja na Pongezi alizotoa kwa Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.DKT.Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Viongozi wa ngazi zote ndani ya Manispaa ya Mpanda na Mkoa wa Katavi kwa ujumla kusimamia kikamilifu ili watoto wote 14,904 waliochaguliwa kuripoti Shuleni kwa ajili ya kuanza masomo ya kidato cha kwanza wanaanza Masomo mapema ifikapo 9 Januari 2023 kwa kuwa hakuna kisingizio cha watoto hao kubaki Mtaani kutokana na Serikali kumaliza kabisa changamoto za uhaba wa vyumba vya Madarasa pamoja na Madawati.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa Mrindoko amewataka Viongozi wa wote mkoani Katavi kuhakikisha wanatoa hamasa ya kufanya maandalizi ya watoto waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwa wakati badalam ya kusubiria mpaka shule zikifunguliwa ambapo amesisitiza kuwa hatosita kuchukua hatua za kisheria kwa mtu yoyote atakayechelewesha mtoto kuripoti kidato cha kwanza.

Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Sophia Kumbuli akiwasilisha Taarifa yake katika Hafla ya kukabidhi vyumba hivyo vya madarasa katika Shule ya Sekondari Lyamba ameeleza kuwa Ujenzi wa vyumba 51 vya madarasa ndani ya Manispaa ya Mpanda ulianza utekelezaji wake mnamo Mwezi Oktoba 2022 ambapo Manispaa ya Mpanda ilipokea Fedha kiasi cha shilingi Bilioni 1 nje ya ukomo wa bajeti kwa ajili ya maandalizi ya mapokezi ya Wanafunzi wa Kidato cha kwanza.

Matangazo

  • MWALIKO WA KOTESHENI YA ZABUNI YA KUENDESHA MGAHAWA April 21, 2022
  • ORODHA YA WALICHAGULIWA KUFANYA KAZI YA ANUANI ZA MAKAZI March 28, 2022
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO YA SENSA July 28, 2022
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA KWA SHULE ZA MANISPAA YA MPANDA December 01, 2021
  • Tazama zote..

Habari za Hivi Punde

  • MANISPAA YA MPANDA YAKABIDHI MADARASA 51

    December 28, 2022
  • WASINDIKAJI WAWEZESHWA MIUNDOMBINU NA MASHINE

    November 16, 2022
  • RC KATAVI ARIDHISHWA NA UJENZI WA MADARASA MPANDA

    November 09, 2022
  • SENDIGA AKOSHWA NA HATUA ZA UJENZI WA MADARASA MANISPAA YA MPANDA

    October 25, 2022
  • Tazama zote..

Video

Uzinduzi wa Tovuti mpya kitaifa
Video zaidi.

Kurasa za Haraka

  • Revenue Collection Dashboard for Katavi Region

Tovuti Zinazohusiana

  • TAMISEMI
  • Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Ajira
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

professional Writing Service

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ilembo, Kasimba area

    Anuani ya Posta: 216, Mpanda

    Simu ya Mezani: +255-2529529

    Simu: +255-2529529

    Barua Pepe: md@mpandamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Haki Zote Zimehifadhiwa.